Wednesday, June 6, 2007

MAMBO YA TUMAINI UNIVERSITY

Hapa nipo na rafiki zangu wa chuo kikuu cha Tumaini tawi la Dar es salaam, kutoka kushoto ni Lusohoka Zakeyo, Anisa Juma, mimi mwenyewe, Balikudembe Joseph, Zamaradi, Neema Mrema na aliyeinama ni caroline Candus, hapa tulikuwa chuo cha Tumaini Iringa.