Friday, May 25, 2007

HUU MCHEZO UFE MARA MOJA!!!



Ni kama vile nasema "ole wenu ninyi waandishi, mnaonunuliwa na wakubwa na kuikosesha jamii ya watanzania haki ya kuhabarishwa! hakuna, kataeni, muwe na huruma na jamii ambayo inawategemea kuwasemea kule ambako wao hawawezi kusema!

Ni haki yetu kusema, kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania 18(a)