Tuesday, May 22, 2007

WINDSOR GOLF HOTEL & COUNTRY HOTEL








Watu kama sisi tulilala vyumba kama hivi, nafikiria kufanyia 'Honey Moon' yangu hapa!




Jengo hili la kwanza ndio kila kitu, mapokezi, sehemu ya chakula na vinginevyo, lakini yale majengo yanayofuatia ni vyumba vya kulala wageni


Hii ndio Windsor unavyoweza kuina kwa juu, nyuma kuleeee, ni jiji la Nairobi



Hii ni Hotel ambayo tulifikia tukiwa jijini Nairobi, sio siri nili 'enjoy' kwelikweli, siku moja nitakupa stor kuhusu Hoeli hii. lakini moja ya mambo yaliyonifurahisha ni kwamba, ni Hoteli kubwa ya kimataifa, yenye hadhi ya nyota tano 5* Hotel inayomilikiwa na Mkenya tena ameajiri wazungu katika Hoteli hiyo.