Saturday, June 2, 2007

MASUALA YA HABARI TANZANIA!

Hamjambooo? Salamu zenu wana Blogu, wana harakati wote! Hujambo Elizabeth David, nakuheshimu sana!

Niko kwenye chumba fulani cha habari, lakini sikuambi ni wapi, sababu soma chini hapa!





Hapa nipo katika studio za redio ya chuo kikuu cha Tumaini tawi la Iringa, hapa ninahojiwa na mtangazaji Janet.... kuhusu uhuru wa vyombo vya habari nchini. Nilimwambia kuwa siamini kama kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini unaotakiwa. Nitakupa sababu siku moja!