Monday, May 21, 2007

Nyerere analia au anacheka?
Najaribu kuwaza ikiwa watu wangekuwa wanakufana na kisha kupewa nafasi ya kurudi duniani, naamini pengine Nyerere angelia, si kuja duniani tu, hata ingekuwa kwamba wafu wangekuwa wanaruhisiwa kupokea taarifa mbalimbali kutoka duniani, tabasamu hili la hayati Nyerere lisingeonekana! Angekuwa analia! sababu unazijua!

MATUMIZI YA PESA ZA UMMA!

Ni muhimu mara nyingine kukaa pamoja na kujadili masuala mbambali yanayohusu taifa letu. Hii ni moja ya mijadala ya wanafunzi kuhusu matumizi ya pesa za wananchi. hapo niliigiza kama waziri wa habari, utamaduni na michezo. Chuo kikuu cha Tumaini Iringa. Kushoto ni Jozaka na yule binti pale anaitwa Caroline na yule mwenye upara ni Balikudembe